Luke 5:1

Kuitwa Kwa Wanafunzi Wa Kwanza

(Mathayo 4:18-22; Marko 1:16-20)

1 aSiku moja Isa alipokuwa amesimama karibu na Ziwa la Genesareti,
Yaani Bahari ya Galilaya.
watu wengi wakiwa wanasongana kumzunguka ili wapate kusikia neno la Mungu,
Copyright information for SwhKC